Back

Showing all 9 results

  • DENIS MPAGAZE FULL PACKAGE (8 E-BOOKS)
    TZS40,000.00

    Mtegemea vya nduguye hufa maskini na vya kupewa hulemaza akili ni methali zinazotukumbusha kwamba utegeaji katika maisha haufai; ni sawa na kupumua kwa kutumia pua ya mwenzako. Hakiwezekani. Kufanya…

    Add to cart
  • Sale!
    DENIS MPAGAZE PACKAGE (5 E-BOOKS)
    Original price was: TZS25,000.00.Current price is: TZS10,000.00.

    Jamii yetu imewachoka wasomi. Inawasema vibaya! Wasomi hawaheshimiki tena kama zamani. Eti wasomi wa siku hizihamna kitu. Yaani ni Tabula rasa. Ajabu sana. Mtu ametumia takribani nusu ya maisha…

    Add to cart
  • FUNGUA UBONGO -DENIS MPAGAZE
    TZS5,000.00

    Kwahiyo nimekuandikia kitabu hiki walau kikusaidie kufungua ubongo na kuanza kufikiri mambo makubwa kama wanavyofanya waliofanikiwa katika kila kitu. Donald Trump anasema, “Watu wengi hufikiria mambo madogo kwa sababu…

    Add to cart
  • MAISHA NI KUTAFUTA SIYO KUTAFUTANA -DENIS MPAGAZE
    TZS5,000.00

    Mtegemea vya nduguye hufa maskini na vya kupewa hulemaza akili ni methali zinazotukumbusha kwamba utegeaji katika maisha haufai; ni sawa na kupumua kwa kutumia pua ya mwenzako. Hakiwezekani. Kufanya…

    Add to cart
  • MIAMBA YA AFRIKA -DENIS MPAGAZE
    TZS5,000.00

    Unapoambiwa Afrika ni Bara la Giza usikubali kizembe na kujiona mnyonge. Afrika haikuwa Bara la Giza. Kama watu wenye akili kubwa kuliko watu wote duniani walitoka Afrika tunakuaje Bara…

    Add to cart
  • UKOMBOZI WA FIKRA -DENIS MPAGAZE
    TZS5,000.00

    Mara baada ya kupata Uhuru wa Bendera, Mwl. Julius Nyerere alielekeza nguvu katika Uhuru wa Fikra maana aliamini bila Ukombozi wa Fikra, watanzania wataendelea kuishi utumwani. Kwahiyo akapeleka vijana…

    Add to cart
  • UKOMBOZI WA FIKRA ZA MWAFRIKA -DENIS MPAGAZE
    TZS5,000.00

    Hili janga la uvivu wa kufikiri linaloitafuna Afrika usidhani lilitokea kwa bahati mbaya. Ni mpango mahususi ulioandaliwa na Mzungu kuhakikisha mwafrika haishi kwa akili bali kwa nguvu na imani…

    Add to cart
  • VIONGOZI WA AFRIKA -DENIS MPAGAZE
    TZS5,000.00

    Wahenga waliposema , “Vijana wanambio, wazee wanajua njia,” nilijiuliza kama wazee wanajua njia mbona wameipoteza Afrika? Maana Afrika inaviongozi wengi wazee. Baada ya tafakuri ya kina nikabaini unapokuwa kiongozi…

    Add to cart
  • WASOMI HURU GEREZANI – DENIS MPAGAZE
    TZS5,000.00

    Jamii yetu imewachoka wasomi. Inawasema vibaya! Wasomi hawaheshimiki tena kama zamani. Eti wasomi wa siku hizihamna kitu. Yaani ni Tabula rasa. Ajabu sana. Mtu ametumia takribani nusu ya maisha…

    Add to cart
error: Content is protected !!